MA hommies Sajo and Jey with Jimaya and Jamaal, Then me and Sajo, followed by me again at Sarafina Bar Uswazi huku Bongoland, D-City and Last pic is Blogger and Jounalist Erick Kabendera akiwa katika kompyuta anayotumia kuandikia makala zake za education hapa gazeti la The Citizen.
Sunday, December 17, 2006
Saturday, December 16, 2006
ITS ME PEOPLE!!
GIFT TO PETER BABA FELICIA
ITS hot in Dar, everything is different. Try come and check how things are done in D-City. Wazee walikuja kunipa big welcome in D-City na snap lingine lina show janki la madingi hawa, siku hizi naye ni daddy, hapo ni baada ya kuchill na Ridin Dirty.
Pengine zaidi ni hapo chini natazama namna Kolamu yangu inavyotengenezwa wakati nikiwa ughaibuni. Hapa ni Mwananchi Newsroom Karibu Makene, tulichoka kukusoma bila kukuona!
KARIBUNI PEOPLE
NAFUNGUA ukurasa mwingine, Gazeti Tando jipya, and Im gonna have to post some photo from my Nation members, Kasri nation. These people reside everywhere, they got no space to occupy! Come on my people, my nation, tu chill hapa katika taifa letu, hureeeeee!
Juu hapo ni mzee wa Ridin Dirty (Chamilionairre ambaye pia ni mkazi wa Kasri Nation) Big up Chamillionare for all the things ya doing for ya people in this nation. Nipo na Ridin Dirty and next photo with ma bro Sayeed.
Subscribe to:
Posts (Atom)